Kimochi ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Wachagga, yaani ni lugha moja katika mnyororo wa lugha za Kichagga. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kimochi imehesabiwa kuwa watu 597,000.
Hii lugha inazungumzwa katika maeneo ya Kilimanjaro na Manyara.
Tunatamani mno kuueneza ujumbe wa habari njema nchini kote Tanzania. Naomba uungane nasi.